Mimi ni mdau mkubwa sana ktk mitandao ya kijamii, Hupenda kutafuta habari mbalimbali na kuwapatia vijana wenzangu ambao hawana access ya moja kwa moja na internet. Kuna kipengele cha ajira/ nafasi za kazi zinazo kuwa posted ktk mitandao mbalimbali, huwa natafuta vyanzo then nawajuza vijana...
jamani ndugu zangu nina shida kweli na matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2003 na 2006, hususani ya Morogoro Sekondari mwak 2003 na Kigurunyembe Teachers college private candidates mwaka 2006
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.