IFM mfumo wa ugawaji wa vitambulisho ni mbovu sana. Yaan wanaboa sana. Ishu ya kugawa ID mpya kwa walioregister ni simple sana ila wao wanacomplicate hadi kero.
Aisee. Sijamchagulia mtu kiongozi, Yes Diamond ana haki ya kumshabikia mtu yoyote.
Ninachocritisize ni kwamba, kwa nature ya kazi yake inahitaji washabiki zaidi. Angeepuka kuwagawa washabiki wake kwa ishu za kisiasa. Yeye kuwa na mgombea anayempenda sio tatizo. Tatizo alivyoexpose based on the...
My point is, asingeonesha wazi maana itamletea effect kwenye kazi zake za kimuziki.
Just imagine saiv mashabiki washaanza kampeni ya kutompigia kura kwenye tunzo anazoshiriki. Na nimepitia comments za mashabiki, 90% hawakufurahishwa na kitendo hicho. Unategemea nn? Wakati kura za washabiki ndo...
Diamond platnumz kaonesha wazi msimamo wake katika mgonbea anayemtaka yeye. Sipingani na maamuzi yake, ila naona kama alikurupuka kufanya maamuzi hayo. Diamond angetambua kuwa washabiki wake wengi wanaompa support hawapo katika mrengo anaoushabikia yeye.
Nimepitia baadhi ya comments za...
Nikiangalia maisha ya mastaa wa Kibongo walivyotawaliwa na unafiki, saa zingine nabaki nacheka tu. Picha linaanza.
S01E01 Wema ana bifu na Jokate kisa Diamond,
S01E02 Wema ana bifu na Penny kisa Diamond,
S01E03 Wema kapatana na Jokate
S01E04 Wema kapatana na Penny
Nina wasiwasi na kupatana...
KUTOKA DODOMA 4U MOVEMENT
Breaking news! 5 bora iliyopitishwa na KK
Lowassa
Asha Roses
Magufuli
Dr. Bilal
Membe
Mr Hemed Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
4U Movement | FRIENDS OF LOWASSA
INA UKWELI WOWOTE HII?
Nimetokea kuwa na mahusiano na mtoto wa kiislamu. Kiukweli nampenda sana ila tatizo ni kwamba rafiki zake waislamu wote wamemtenga na hawana time nae tena. Kiukweli hicho kitu kinamuumiza na inafika hatua analia peke yake. Nauliza. Kwa anayejua sheria za kiislamu haziruhusu mtu kuwa na mpenzi...
hahahahaaaaaaa.... ni kweli maana kuna demu mmoja alikuwa rough kweli tukiwa o level tukasema chuo kitamshape lakini ye akachagua SUA. mbona majangaaaa...
Sasa mkuu naomba unieleweshe hapa. Nan kati ya hawa anaishi maisha ya dhiki
ANAYELIPIA KING'AMUZI KILA MWEZI au MWENYE DISHI ANAYEANGALIA FREE MUDA WOTE??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.