kwa udom uwezekano wa kurudishiwa hela zako upoo ila utasumbuka sana but you may try your best! ila kama utakuja itakubidi usubiri mpaka wanafunzi wote wamalize usajili than u may com
na cha kuongezea kama utaamua kwenda udom na mkopo uko saut utapata tabu kwa muda usiojulikana coz process za...
pia itakua vizuri kama watakata tiketi za mabasi cku moja au hata mbili kabla ya safari coz kipindi icho usafiri unakua tabu kweli kweli, ukifanya mas-hara utatozwa mpaka elfu 30 badala ya 15, na si hasha ukakosa usafiri kabisa kwa cku hiyo,
pia kama huna hata ndugu au mwenyeji dodoma jitahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.