wewe unavoonekan jibu unalo kbsaaa km robo tatu anaicontrol yy huon km jibu tyr unalo. maan ata ukisem utaoa uyo anaekupenda wkt moyo wako upo sehem ingine ndio mwanzo wa kuja kumsaliti dada wa watu. hebu fanya vile uonavyo maan si kwl kwmb u njiapanda
Namalizia; usimtokee boy km sio mstaarabu chunguza kwanza, ukiona unashindwa kama ewe ni mtu wa dini jaribu kumshirikisha mungu akupe kibali, ila kama ukiona hofu bado inakutawala beta uache sio mpango w mungu atakuumbua na kukutangaza wewe utajuta kusema, w.me waelewe hata w.ke wana hisia kam...
w.me wengi sb ya tamaa wamekua wakikubali wakidhani ni neema bila kuchunguza aina y girl aliemtokea. binafsi imeshanikuta and i make t, boy nilimpend frm myhert, uzalendo ukanishinda nikampa la moyoni, though t was tough n ilichukua muda kunielewa almost a year nilivumilia na kuamini nipo...
nadhan mapenz y kwel yalikuwag enzi hizooo. siku hz n kudanganyana mby. ku let go n ngumu ila ukishindan na moyo n rahc japo kuumia iz ther. ya nn kungangania pnz usilotakwa. ukishawaz ivo lzm upate nguv mpya n ku surrender
Kuna kaka nilitokea kumpenda sana ila nilishindwa kumwambia.
Kadiri siku zilivyoenda nilishindwa kujizuia nilimwambia ninavompenda, alichonijibu atanipa jibu japo hajui ni lini ila atanijibu.
Ila tunawasilian kama watu wa kawaida. je kijana atakua anapenda pia au ananichora?
Kuna kijana mmoja nimetokea kumpenda sana, yani upendo wa kweli kutoka moyoni mwangu, lakini siwezi kumwambia kama ambavyo si mila yetu wa Afrika kumtamkia mwanaume kuwa unampenda nifanyeje aweze kuelewa hisia zangu.
Maana ni mwezi sasa nagumia maumivu sijui nifanye nini?
Nina mpenzi wangu ambaye tuna mwaka moja nae, juzi nimepigiwa simu na mdada aliyedai kua ni mpenzi wa mpenzi wangu anadai wana miaka minne kwenye mahusiano na huyo mpenzi wangu.
Nilipojaribu kuongea na mpenzi wangu akaniambia na mimi ndio chaguo lake,akasema atanieleza sababu za yeye kuwa na...
mwenyewe unaonekana unataka ushauri unaoendana na mawazo yako, sasa huo c ushauri km kwel unahitaji ushauri, km hutak kushauriwa we fwata mawazo yako then utakuja omba tena ushauri baada ya kutendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.