Habari, Asante sana Kwa kuwa mfatiliaji mzuri wa nakala yangu ya Application ya simu ya kutatua tatizo la upatikanaji wa mtandao vijijini, na mpenda maendeleo katika taifa letu. Naomba nikujibu maswali Yako kama ifuatavyo
1. Bluetooth ipo kwenye kila aina ya simu bila kujali ni simu janja au...
TITLE: APPLICATION YA SIMU KWA AJILI YA KUTATUA TATIZO LA UPATIKANAJI WA MTANDAO WA SIMU VIJIJINI (NETWORK CHALLENGE APPLICATION SOLVER)
UTANGULIZI
Tanzania ni miongoni mwa nchi duniani ambayo imekubali teknolojia ya mawasiliano kama nyenzo muhimu katika uchumi na maendeleo. Takwimu zinaonesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.