Tunaamini viongozi watajadiliana na tume na kutoa taarifa ni wapi na saa ngapi mkutano utafanyika, tuwe na subira hiki ni kipindi kigumu sana, Mungu atusaidie,
Ni watu wanao tafuta umaarufu, lakini nampa tahadhari kubwa awaache wanasiasa watupe sera zao, na si kumuandama mtu kana kwamba anao ushahidi, awasilishe pingamizi mahakamani na si kumkashifu mtu, tunajua anaumiwa kuchafua, lakini amekisha chelewa, Edo amefuata njia sahihi kutojibu wanaomtukana...
Hatuna utamaduni wa kushabikia ugonjwa wa wenzetu, Hoja ya mmoja ya mgombea kuwa dhaifu kiafya imepitwa na wakati, tujadili uwezo wake kama kiongozi, mengine ni makando kando, tumesha vuka huko.
Hatuna utamaduni wa kushabikia ugonjwa wa wenzetu, Hoja ya moja ya mgombea kuwa dhaifu kiafya imepitwa na wakati, tujadili uwezo wake kama kiongozi, mengine ni makando kando, tumesha vuka huko.
Siungi mkono ndugu kupanda daladala wakati huu, ninachokubaliana na Edo ni namna anavyoweza kubeba uthubutu wa kweli bila kuangalia matokeo hasi, wanao angalia kibanzi kwenye jicho lake, hawajaona boriti kwao, miaka yote wamemshutumu kuwa mwizi, hata alipotoka kwenye mfumo bado wizi umezidi, na...
Kura si kigezo pekee cha uhalali wa kuongoza watu zaidi ya million 40, ndio maana wako wasiopiga kura na bado katiba inawapa haki na wajibu wa kuheshimu mamlaka ya Urais, ukiacha kura mgombea ajipime kwa namna anavyoungwa mkono na anaowaongoza.
Unaweza kuanza kutoa tathmini ni mgombea gani...
Nani kakwambia anayechaguliwa ni baba yake, inawezekana huyo mzee amerukwa na akili, au ni baba ya kufikia, tuhitaji kumuuliza mama yake iwapo yeye ni baba halisi au kaletewa, kama utafiti wa hivi karibuni juu ya ugumba, nafikiri DNA ni suluhisho, hivi akishinda?, zile posho zilizopanda kule...
Jiulize wako wangapi kama yeye kwenye system, ndio maana unaambiwa hili gari linahitaji overhaul, wameoza jamani, kwa taarifa yako hayo uliyoorodhesha ni madogo tu, ndio maana hata chenge aliwahi kusema hivi nilivyonavyo ni vijisenti, halafu mkuu umesahau namba 22.
Ununuzi wa mapazia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.