JF kama kawaida haipewi credit
Wenye JF kama kawaida hawalalamiki na watu wakiweka threads za kuwa suta hawa waandishi wa habari na uozo wa vyombo vya habari Tanzania zinahamishwa.
Je sheria zilifuatwa ?
Je Tanzania inasheria ya kuuza ardhi au ya ku lease ardhi?
Je hao jamaa walipewa lease au waliuziwa?
Sheria ya kulease ardhi ilifuatwa au la?
naomba mnijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.