Hawa jamaa kiukweli ni watu wa ajabu sana tena sana. Mwanzilishi ni Kafulila + Rungwe pamoja na jamaa mmoja aliyeshindwa ubunge 2010 jimbo la Kakonko kupitia NCCR na kwa sasa kafukuzwa kwenye chama hicho. Wala msichanganye mh. Zitto na hiki chama ni hao niliowataja. Kama mnavojua Kafulila hawezi...
Kiukweli, kama watanzania wote wangesoma hii makala, hakika wangefumbuka fikra zao ambazo kwa sasa zimejaa chuki juu ya wengine. Prof. yote uliyosema ni kweli. ukiangali sana maeneo yote ambayo mwarabu aliwahi kukaa mpaka leo hii hali zao ni duni na sijui kama watakuja badilika kama hawatokuwa...
kama anafikir kuwa wanaumewananuka ajaribu kunusa ninihi yake asikie huo mnuko. mimi ninachoamin hakuna mwanamke msafi, atakuwa msafi vip huku maji yake yananukaa? tunalinda uhusiano tu lakini hata wanaochafua shuka ni wanawake!
ama kweli magamba wameisha, kuwa na wabunge kama wasila, lusinde, majimarefu (mganga wa kienyeji), jafa, mwigulu na lowasa ni ishara tosha kuwa chama kizima hakina mtu mwenye busara hata mmoja!
Anhaaa! ni yule jamaa mlopokaji? watu kama akina LUSINDE ndo wanaosaidia kuzika chama cha magamba. hajui kuwa siku hizi vijana wanaangalia watu makini sana kama TIMU NZIMA YA CHADEMA na si ulopokaji anaoufanya huyo jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.