Search results

  1. UBISHI

    Ni zip Tofauti kati ya VRN na TIN,je kunafaida gani ya kuwa na VRN?

    Mapato yanayozidi 40,000,000 kwa mwaka.......VAT 18%
  2. UBISHI

    Kasema mahari itatolewa mwakani,

    Du kazi hii, Anza upya msahau period
  3. UBISHI

    Ninajambo mwenzenu usisite kudondosha mchango wako.

    Ni mmasai?.kuna mtu keshachoma mkuki nje ya nyumba yako kabla huaingia tena
  4. UBISHI

    Nyumba za wageni bukoba,karagwe,muleba na magodoro na matandiko ya mpira !

    Inaitwa katerero.......wenyeji wote wa huo mkoa wanaijua kasoro wewe tu mgeni. Wala usipate tabu opoa halafu mwambie akufundishe katerero yaani kipigio kama sijakosea
  5. UBISHI

    Nyumba za wageni bukoba,karagwe,muleba na magodoro na matandiko ya mpira !

    Yaani tukupe bure matirio ya utafiti...lipia bana......... Bishanga ulio
  6. UBISHI

    CCM wanaandamana Dodoma

    Ni Umoja wa vijana wa CCM Mkoa wa Dodoma ndio wanaoandamana
  7. UBISHI

    CCM wanaandamana Dodoma

    Wanalaani kauli ya CHADEMA Arusha juu ywa kuigawa nchi –Kanda ya ziwa na mikoa ya kaskazini.Lakini pia wanampongeza Rais Jk kwa kuunda upya baraza la mawaziri.
  8. UBISHI

    Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

    Wairaq ndio wambulu na asili yao ethiopia na baadae wakapita somalia ndio maana wna matamshi kama wasomali.ukimsikia mbulu anatamka kwa kiswahili mpira anasema impira.kama huamini mwambie sumaye au slaa atamke
  9. UBISHI

    Wajiriwa wa IT - TZ mnatuabisha sana

    wanawaza deals,kwenye wizi ndio utajua wataalam tunao
  10. UBISHI

    Balaa kubwa: Baada ya kutimliwa na JK; Mkulo, Maige kortini

    Hebu weka paragraph.Hivi ulivyoandika inaumiza macho, back to the topic: Takukuru mpaka waambiwe shughulika ndio wakurupuke,kuna namna nyingi za kufuatilia rushwa ama wizi.Ni kiasi cha kuwa karibu na CAG,wakati wanafanya ukaguzi wa hesabu mathalani wilaya ya Kinondoni na wao wanafuata nyayo...
  11. UBISHI

    Mie mgeni humu

    mnipokee jamani niwe mwenyeji humu
  12. UBISHI

    Mie mgeni humu

    mnipokee jamani niwe mwenyeji humu
Back
Top Bottom