tafuna mbegu za mlonge na mkeo nae azitafune, wakat huo huo mkeo achemshe maganda na majani yake awe anakunywa kama chai, mm ilinipa matokeo mda mfupi baada ya kutaabika kwamwaka mzima
kenani laban kihongosi, ana ushawishi sana kwa wananchi kila alipotolewa wananchi walimwaga machozi, ni mchapa kazi haswa kiasi iifikia makamu mweyekiti wa ccm (kinana) kuongea hadharani kuwa kijana anachapa sana kazi mpaka hanenepi, kama kweli ccm ipo silious na inataka mageuzi basi huyo mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.