Wanajamvi naona utumishi wametoa majina ya usaili kwa tar 26.
Mmimi niko mwanza nahangaika na ujasiliamali wa kujipatia riziki ya kila siku. na mwezi huu nadaiwa kodi ya kibanda changu cha biashara. mwezi ujao natakiwa nilipie chumba changu cha kuishi jumla nadaiwa 600000 ndani ya hii miezi...
Habarini ndugu zangu,
Jamani huu mtandao wa voda kulikoni?Juzi niliweka vocha ya 500 wakalamba 100, data zote ziko off.
Sikuwapigia sababu nilikuwa bize. Sasa jana kuna mtu kanipa nimwekee vocha ya jero then nimuunganishe, ile kumuunga naambiwa huna salio la kutosha, kucheki wamekata 100...
Jamani kuna msichana nilimtongoza nikiwa shule ya msingi lakini hatukufika mwafaka kwa kuwa tulivyomaliza shule kila mtu aliendelea na secondary na hatukuwa na mawasiliano kila mtu akawa na issue zake. Baadae alitafuta namba yangu ya cm nikiwa form5 nikawa naye kwa mda lakini baadae tuliachana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.