Updates:Nilifanikiwa kupitishiwa barua ya kuomba kurudishwa kwenye payroll na Afisa utumishi tatizo hapa kwa katibu mkuu utumishi wanazingua mbaya ,natumaini hapa jamvini kuna watu wana network na watu pale naombeni msaada
Ndugu wanabodi, niliajiriwa mwaka 2010 Halmashauri fulani lakini sikwenda ,mwaka huu nikaomba ajira nikapata tatizo limetokea kwenye system inaonekana tayari nimeshaajiriwa.
Wakuu naomba msaada wa mawazo yenu na yeyote aliye tayari kunisaidia.
Wakuu heshima mbele ,mimi ni mwalimu wa grade A naomba directioni jinsi ya kuingia serikalini au kama kuna mtu yeyote anaweza kunisaidia hapo wizarani ani pm,thank you in advance
alijinyonga kwa shinikizo la deni alilowakopesha waliosana na walipomthibitishia kuwa hawata mlipa, alidhani suluhisho ni Kifo. Kwa imani yake, hatazikwa kama mkristo kwani katenda dhambi kubwa, ni kuua tu roho wa Mungu. Tusiue roho zetu wala za wengine.
Laiti angeliwashirikisha wana JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.