Search results

  1. Masimbwe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Hai Kilimanjaro nije njombe mji Idara ya msingi
  2. Masimbwe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Hai Idara ya msingi nije tanga jiji
  3. Masimbwe

    Amini usiamini chuma kinaweza kuelea juu ya maji

    Hakika mungu anaweza kufanya njia pasipo na njia
  4. Masimbwe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu Idara ya msingi halmashauri ya Hai anatafuta Mwalimu wa kubadilishana kutoka manispaa ya morogoro piga namba 0767287256
  5. Masimbwe

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo halmashauri ya Hai nije Tanga jiji au muheza ,Idara ya msingi aliyetayari ani pm
  6. Masimbwe

    Kurudishwa kwenye Government Payroll

    Updates:Nilifanikiwa kupitishiwa barua ya kuomba kurudishwa kwenye payroll na Afisa utumishi tatizo hapa kwa katibu mkuu utumishi wanazingua mbaya ,natumaini hapa jamvini kuna watu wana network na watu pale naombeni msaada
  7. Masimbwe

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Watu kama hawa wafungwe tu
  8. Masimbwe

    Kurudishwa kwenye Government Payroll

    Mkuu nilivyopangiwa niliingizwa moja kwa moja kwenye system na kupewa check no.ingawa sikuripoti
  9. Masimbwe

    Kurudishwa kwenye Government Payroll

    Unaweza kupata nafasi lakini tatizo linakuja wanapotuma jina hazina kwa ajili ya malipo system inaonyesha mtu huyo alishaajiriwa
  10. Masimbwe

    Kurudishwa kwenye Government Payroll

    Ndugu wanabodi, niliajiriwa mwaka 2010 Halmashauri fulani lakini sikwenda ,mwaka huu nikaomba ajira nikapata tatizo limetokea kwenye system inaonekana tayari nimeshaajiriwa. Wakuu naomba msaada wa mawazo yenu na yeyote aliye tayari kunisaidia.
  11. Masimbwe

    Mimba ya wiki3

    tumia hii misopotrol
  12. Masimbwe

    Wizara ya elimu

    Wakuu heshima mbele ,mimi ni mwalimu wa grade A naomba directioni jinsi ya kuingia serikalini au kama kuna mtu yeyote anaweza kunisaidia hapo wizarani ani pm,thank you in advance
  13. Masimbwe

    Kumbe Jk Bado Mtu wa Watu!

    Hiv ww una elimu gani?
  14. Masimbwe

    Diwani kata Mlangali Ludewa ajinyonga

    alijinyonga kwa shinikizo la deni alilowakopesha waliosana na walipomthibitishia kuwa hawata mlipa, alidhani suluhisho ni Kifo. Kwa imani yake, hatazikwa kama mkristo kwani katenda dhambi kubwa, ni kuua tu roho wa Mungu. Tusiue roho zetu wala za wengine. Laiti angeliwashirikisha wana JF...
  15. Masimbwe

    Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

    Hivi huyu rejao ana umri gani?
  16. Masimbwe

    Tanesco; Hivi kuna mgao wa umeme kimya kimya?

    Huku muheza tanga kuna mgao mkali wa umeme unaoendelea kwa miezi 3 sasa
Back
Top Bottom