Lauti kama jan ulipigiwa basi yawezekana kwani jana dogo wangu mmoja amenambia alipigiwa sema hakufanya interview ya kwanza wakamwabia ati aende kwa interview j'mos IFM, me nikajua mtu anamchezea sasa kama na jana walipiga ngoja aende hyo j'mos aje anipe jib.Sema wasiwasi wangu itakuwa vp afanye...
Jamani wan JF NSSF wameanza kupiga cm ila wanadai wana counter check sijui wanacho counter check ni nini me nimepigiwa na tigo namba mdada kajitambulisha na kuniita jina fresh kisha akaniuliza kama nilifanya interview post gani nikamwambia basi...
Wameanza kupiga cm ila wanadai wana counter check sijui wanacho counter check ni nini me nimepigiwa na tigo namba mdada kajitambulisha na kuniita jina fresh kisha akaniuliza kama nilifanya interview post gani nikamwambia basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.