Search results

  1. K

    Ongezeko la wachimbaji wa kigeni na wakezaji kutoka bara la asia .Ni kipi Watanzania tumegundua kwao?

    Tanzania tutabaki kulia lia tu na kutapatapa sana,maana wanaopasa kusaidia wanasaidiwa wao na kunufaika zaidi 🤣🤣
  2. K

    Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) walaani matamshi ya Paul Makonda

    Yetu macho,pia kunbuka tangu wametqbiri mabaya kwake zaidi yanaonekana mafanikio endeleeni na mwisho wa siku itaonekana mjinga na nani😆😆
  3. K

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Aisee si uamke utakojoa kitandani weweeee😆😆😆😆😆😆
  4. K

    Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) walaani matamshi ya Paul Makonda

    Wakongo wanasema FIMBU NA FIMBU, Wacha iendelee kutembea yaani mpaka mfanikiwe kumnyamazisha Makonda kuna Upumbavu na ujinga utakuwa umeshatoka vichwani mwa wengi, Watumishi wa Tanzania ni Wazembe, wavivu, wezi, waraghai na machokoraa wa kutupwa hivyo mi nadhani hata angeanzisha ka utaratibu ka...
  5. K

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    Kwa hiyo kama ni mama yangu akikosea asiambiwe ukweli?? Ama basi ni wanaume wangapi wanadhalilishwa na wanawake na hampigi hizi kelele??? Acheni ushamba wa hizo Haki haki,ndiyo maana leo watoto wenu wa kiume wanaolewa na mnabaki kulialia bila kujua mnayasababisha ninyi. Ninaye...
  6. K

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    Ila katika hili ninyi ndiyo mmeborongaaaa, kuna harakati zingine unqzifanya mpaka yule unayemfanyia anakushangaa sana,kwa hiyo watu wasiambiwe ubaya wao kisa watavunjiwa haki zao?? Kwani kudhalilishwa anakuwa yeye wa kwanza?? Je! Kwa kutotimiza wajibu wake kazini amewavunjia haki zao watu...
  7. K

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    Mlikuwa wapi kusimama dhidi ya hao waliofanya ubaya kwa wananchi?? Ama pesa zinazoliwa na hawa watumishi wa serikali si uvunjifu wa haki za kibinadamu?? Kuna mambo ya kuingia kwenye Human Rights breach na mengine ukiyaweka unaonekana zuzu. Hakuna alichodhalilishwa hapo huyo dada ila aliambiwa...
  8. K

    Marais wa Afrika wanaoongoza kusafiri sana nje ya nchi zao

    Hapa kwetu Tz huko nyuma walisema nchi ilijitenga sana na dunia hivyo wacha mama aigungue nchi,sasa leo mama antifungal nchi tena wanaanza kumlaumu eti ni mzurulaji😆😆😆ama kweli Huwezi mridhisha mwanadamu kamwe🤔🤔
  9. K

    Mwili wa aliyefia Mlima Everest utaachwa huko, familia yaamua

    Siyo kwa Ubaya,lakini hawa jirani zetu si huwa wanajinadi kuwa wana maisha mazuri na pesa nyingi?? Sasa mil 9 kwao kitu gani kshindwa kuuchukua mwili wa ndugu yao?? Ukizingatia huyo ndugu yao si mtu wa kawaida,maana yake kama pesa alikuwa nayo😆😆😆kumbe bana "mvua ikinyesha ndiyo utajua wapi panavuja"
  10. K

    Serikali yaiagiza TCRA kufatilia wanaouza vocha tofauti na bei elekezi

    Kwani si wamtume yule Robot wao nani vile sijui Lucy ama jina gani vile akawakamate ama awapatie habari moja kwa moja, kwa nini TCRA wasumbuke😆😆
  11. K

    Marekani: Bilionea mwingine apanga safari ya kuchunguza Mabaki ya Titanic

    Wakirudi salama basi nitaamini uchawi umekwisha,ila likitokea lililotokea kwa wenzake basi naenda kumtafuta mganga na mchawi wa familia yetu🤣🤣
  12. K

    Putin kuapishwa leo kuwa Rais kwa mara ya 5 na miaka 24 madarakani

    Kubali kataa hii Demokrasia inayotangazwa na wamagharibi kama itaendekezwa kwa hizi nchi zetu basi tusahau maendeleo ya jumla kama nchi na Uhuru wa pamoja hautakuwepo pia😆
  13. K

    Putin kuapishwa leo kuwa Rais kwa mara ya 5 na miaka 24 madarakani

    At least yeye anaweza kubadili katiba ili tu aitetee nchi na wananchi wake,kulikoni hawa wa kwetu wengi hubadili katiba ili wakale Bata ikulu na familia zao😆😆😆shame kabisa
  14. K

    Kutoka kwenye familia tuliyosomeshwa kwa gharama kubwa kumeniathiri kiuchumi, Kupeleka watoto kayumba ni aibu, Napambana kukwepa aibu

    Watoto kusoma ama kupata elimu nzuri ni wajibu wa mzazi lakini hakuwezi kunifanya nikose usingizi ni wapi wapate hiyo elimu. Kulingana na kipato chàngu wanangu watasoma mahala popote. Thanks
  15. K

    Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

    Ndugu haujawahi sikia vile yale mahubiri ya kutoa yanavyo hit sehem maalum,utajikuta ukiuza kila kitu ili ukatoe halafu wewe unaki pee huku ukiamini Mungu ataleta😆😆😆
  16. K

    Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi; Nini hatima ya Tanzania na Maamuzi ya Mahakama ya Rufani?

    Kwa mwenendo huo hakutakuwa na uhuru katika kura laa basi wawepo wakijitoa muhanga kutosikiliza maelekezo ya wakuu wao vinginevyo mshindi atakuwa ni mmoja tu
Back
Top Bottom