Zitto angekuwa mchaga angeshinda kwa kura za hapa. Ila kiuhalisia, Zitto anaweza kupata kura nyingi za CCM na CHADEMA. Babu yetu, Slaa atapata za CHADEMA TU. Tatizo hapa uzee wake tu...
they are not engaged ndugu yangu ni njaa zetu tu hizi. Wakaka nawafahamu mie, they are so bad guys...wakaka siwaonei huruma they cheat a lot watoto wadogo wanawa do wanawapa elfu kumi kweli? wakaka muone aibu jamani lol!
Jana nilikuwa cocobeach nikakuta akina dada wenzangu wamevua nguo nikidhani wanajiandaa kuogelea...baadae nikakuta wanaume wengine wanafunga zipu zao kwa mbele...nikasita kwenda...kurudi nyuma nikakuta condom 4 zilizotumika zikiwa na kiwango kikubwa cha ukame. hivi tunakwenda wapi sasa? wenzangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.