habari wana jf..me ni kijana wa kiume ni miezi 3 sasa imepita toka nianze mahusiano na huyu binti.kwa ufupi ilikua hivi\nilikua bukoba miezi 3 iliyopita ambako nilienda kufanya field katika kituo kimoja cha radio..kwa bhati njema niliweza kukubalika sana kwa wasikilizaji hususani vijana lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.