habari wana jf..me ni kijana wa kiume ni miezi 3 sasa imepita toka nianze mahusiano na huyu binti.kwa ufupi ilikua hivi\nilikua bukoba miezi 3 iliyopita ambako nilienda kufanya field katika kituo kimoja cha radio..kwa bhati njema niliweza kukubalika sana kwa wasikilizaji hususani vijana lakini zaidi mabinti..pengine ni kutokana na kipindi cha music nilichukua na host..mwisho wa siku nilpokea simu kutoka kwa mdada aliejitambulisha kua anatokea uganda na anazimika sana na sauti yangu hivo anapenda kampani yangu ya ulafik tu..sikua na hiyana nilianza kuchat nae kila nipatapo mda mpka mda wangu wa field ulipoisha nikarudi home..na niliendelea kuchat nae..tunatmia airtel so gharama ya mawasiliano ni nafuu..lakin kama mwanaume kwa namna tulivokua 2nachat nlimsoma kua alihitaj mor than a friend.na vile nilikua cngo..nili2pa nyavu kama kusukuma mlevi akakubari..mwanzo ilikwua kima sihala bt mwez huu wa 3 uhusiano umekua strong. yeye anadai anafanya kaz bank na amekuwa akinijari kifedha mda wowote napohitaji na hata nisipomwomba coz anajua sina kazi..hatujawai onana ingawa mwenyewe hujtapa n mrembo..hapa nlipo keshani2mia pesa ya kukatia passpot na nauri ili niende uganda tukaish pamoja coz hata kazi kanitafutia..bt binafs ni kama ninasita sita..why me?wakat me ni kapuku tu na anajua.unaweza kumpenda m2 kwa kiwango hik hta bila kumwna?