PRINCE JOKES
SIJUI nani alimdanganya akaibuka na kumzodoa Rais wa TFF, Wallace Karia mara baada ya kufungiwa miaka miwili na faini ya Sh 20 milioni.
Najua ulimsikia Haji Sunday Manara alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kufungiwa miaka miwili na faini ya Sh 20 milioni.
Kama ulimsikia...
Sikupenda hili litokee kwa huyu dada lakini sasa nimeamini Mungu analipa hapahapa duniani. Huyu dada kuna kitu kibaya alinifanya wakati akitangaza kipindi cha filamu cha EATV. Nilimpigia simu na kumuomba anisaidie kuhusu filamu niliyoibiwa na msanii mmoja mkubwa, akanipuuza. Nilipofatilia...
Naamini humu kuna kila aina ya watu wanaoweza kunielimisha kuhusu hili. Hivi ni benki gani hapa nchini ambayo inalipa interest nzuri katika ule mpango wa Fixed Account? Mfano ukiwa na milioni moja baada ya miezi sita unaweza kupata kiasi gani, au baada ya mwaka? Please naomba msaada wenu.
Agustino Peter Magari "Peter Tino" ambaye mwaka 1980 alitupeleka Lagos kwa bao lake la ugenini kwa kuifunga Zambia. Kumbuka ni mara ya kwanza na mwisho mpaka leo Tz hajawahi kufuzu Afcon na Tino bado yuko hai na hakuna Tino mwingine aliyezaliwa kutufikisha hapo.
Nimeuliza tu dadaangu. Maana tangu zamani siye tulikuwa tunaulizana pale mwenzetu anapopata demu..." vipi mashine ipo vizuri au...?" sometime utasikia mtu anakwambia " Mashine mbovu si ameshashusha engine... (amezaaa?) . Ndio maana nikaleta mada hapa sina nia mbaya kwako wewe malyakishu na...
Nimejaribu kuipeleka hii jukwaa la wakubwa lakini naona nimeshindwa sijui kwa nini wakati mm ni member kule... okey siyo shida sana kwa sababu nadhani haitakuwa na maneno makali naomba niulize, Kuna wimbo unaimbwa sana siku hz unaitwa mwanaume mashine... mbona maneno yaliyokuwa yakisifika...
Naomba kurekebisha kidogo mkuu... Chama hakumpasua kichwa Mogella. Ile ishu ilikuwa hivi... Mogella alianguka akiwa pale chini beki mwingine wa Yanga, Yussuf Ismael 'Bana' akiwa naviatu vyenye six-meno alitaka kumkanyaga usoni Chama akamsukuma Bana na vile viatu vikamchana Mogella kichwani. Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.