boy friend tu sio mchumba sasa shida yake nini inawezekana ana mchumba ambaye anajulikana na mama yake akiona vipi yeye ajipendekeze kwa mama mkwe aone atapokelewa vipi
utajisikiaje na wewe unarudi mapema nyumbani hukuti chakula ingawa kipo stoo, kwenye handbag ipo picha ya mwanaume mwingine hataki mtoke wote,unamwona sio mwaminifu je hapo kisu kimeingia kwenye mfupaaa?
hapa uangalie alipokukataa athari alizopata mama yako halafu mshirikishe mama yako muwe lenu moja kama umesamehe pia umshirikishe maumivu ya kukataliwa yana athari zake kama umesamehe asikufanye ATM
mluguru mmoja aliomba lift kwenye lori bahati mbaya kutokana na ufinyu wa nafasi ikabidi mke akae siti ya mbele mume apande nyuma ya lori kufika mwisho walivyoshuka akaenda kulalamika kwa rafiki yake kobelo akasema mwe yule dereva hana adabu kabisa tulisimamisha motoka mke wangu kamtia mbele mie...
kabla ya kuanza safari kula phenegan utalala lakini ukija amka huwezi amini utakula kila kitu no kutapika no kichefuchefu mwenzio nlijaribu kwa rafiki yangu amenishukuru kwa tiba hiyo so na wewe jaribu ni serious
unajua huwezi kujua utaamua nini ni rahisi kusema siku nikifumania patakuwa hapatoshi lakini huwezi amini bumbuazi lake unaweza kubung,aa we ukose uamuzi maumivu makali kama hayo hayana fomula
imenikumbusha familia moja huko njombe chup ilikuwa ni luxury inavaliwa mtu akienda mjini au hospital walikuwa na moja tu sasa siku moja mdogomtu alipanda lorry tingo akamwona akamwuliza we mbona hujavaa chup akajibu leo ni samu ya dada amekwenda usa matosani mujini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.