Siku za hivi karibuni binti yake Rais Donald J Trump wa Marekani ajulikanaye kwa jina la Tiffany Trump amekuwa akionekana sana akiwa karibu na kijana wa Kilebanon ajulikanaye kwa jina la Michael Boulos na ukaribu huo moja kwa moja umetafsiriwa kuwa ni uhusiano wa kimapenzi.
Kuna kipindi wawili...
Mwaka 1519 Kamanda mmoja wa kikosi cha Kihispania aliyeitwa Hernan Cortes alienda kukivamia kisiwa cha Veracruz cha nchini Mexico.
Alipowasili ufukweni aliamuru askari wote 600 na mabaharia wote washuke kisha akaagiza meli zote 11 zichomwe moto.
Kisha akawauliza askari wake, "mnaona nini...
Mke baada ya kumaliza kuoga akawa chumbani, mume wake alikuwa amejilaza kitandani, huku akiwa anamuangalia mkewe anavyovaa.
Mara mke akavaa chupi kwa kuigeuza bila kutambua, mumewe akaona kuwa mke aligeuza chupi ila akamkaushia.
Mke akamuaga mumewe kuwa anaenda sokoni, akaondoka.
Alipo rudi...
New York iko masaa 3 mbele ya Calfornia lakini hii haimaanishi Calfornia inaenda taratibu au labda New York iko mbio sana. Zote ziko sawa isipokuwa kila moja ina TIME ZONE yake.
Kuna mtu yuko single sasa hivi. Kuna mtu ameolewa na kusubiri miaka 10 kabla ya kupata mtoto wakati kuna mtu amepata...
Don na Margaret walifurahia kutembelewa na binti yao na familia yake. Katika sherehe ya kuwaaga, Margaret, ambaye zamani alifanya kazi ya upishi, aliandaa tambi na jibini, chakula kinachopendwa zaidi na wajukuu wake wawili.
Wote walipokuwa wameketi, Margaret alileta chakula na kukiweka mezani...
Binti mwenye umri wa miaka 13 alihisi hivyo baada ya kupokea zawadi ya mnyama anayempenda.
Mwanamke fulani ambaye ni mfanyabiashara mwenye mafanikio alisema kwamba zawadi ya kompyuta aliyopewa na baba yake alipokuwa shule ya sekondari, ilibadili maisha yake.
Mwanamume aliyeoa hivi karibuni...
Unakuta Mwanaume anakuwa yuko tayari kuingia kwenye uhusiano lakini mwanamke anakuwa bado. Anataka kuula ujana na yupo katika kile kiwango cha ‘kunguru hafugiki’.
Mwanaume hata afanye nini, yeye si kutulizwa akatulia. Si wanaume pekee, hata wanawake nao wanakutana na kisanga hiki.
Unakuta...
Siku kama ya leo tarehe na mwezi kama wa leo miaka mingi tu huko nyuma nilizaliwa.
Wewe si wewe pekee....ni KILA MMOJA ndani yako.
Kuna watu wanaoamini kuwa FULANI ni mwema ama m'baya na kuachilia mbali kilichomfanya ama asili ya "uzuri" ama "ubaya" wake. Lakini haijalishi watafsiri vipi UBAYA...
Hii inamhusu yule aliewahi kupost kuwa anatafuta na hatimaye akapata Mke/Mume/Mchumba kupitia jukwaa hili.
Share angalau kwa ufupi changamoto ulizokumbana nazo ktk huo mchakato hadi ukafanikiwa. Hii sio kwamba itanisaidia mimi tu bali na yule mwenye nia ya kutafuta mwenza kupitia Love Connect...
"Mwalimu aliingia darasani na kuwaonesha wanafunzi noti ya fedha ya shilingi elfu kumi. Ilikuwa mpya kutoka bank. Akawauliza wanafunzi kuwa ile noti ina thamani gani, wote wakajibu elfu kumi!
Akachukua noti nyingine ya elfu kumi iliyochoka mno, imepoteza rangi na kupauka. Ikaonekana...
Hongera nYinGi'KimaFuriKo za kiwango cha Standadi GeJi kwa WAKULIMA, maana mnatufuturisha MAPOCHOPOCHO yenye MADIKODIKO yani! 🤣
Swali:
Hivi Hii sikukuu unaweza kukumbuka imekuwa na manufaa kwa MKULIMA kwa miaka mingapi vile!?
Na sitashangaa kusikiaaaa,...
...anufaikaye na SIKU KUU ya...
Unaweza ukawa unafanya mambo mengi mema kwa mpenzi wako lakini anaangalia na kunyamaza akifahamu ndani yake kwamba ni wajibu wako kufanya vile.
Wapo baadhi ya watu wenye kiu na maneno ya kupongezwa, kushukuriwa au ya kuhamasisha. Kwa mfano, mwenzako amekusaidia kuanua nguo zako nje, akimaliza...
Kulikua na baba mmoja alikua na shamba kuuubwa limejaa miiba. Kila akitaka kulisafisha.. Miiba ilikuwa kikwazo kwake.
Miaka mingi ilipita hakulima shamba lake sababu ya miiba. Kipindi cha njaa kubwa kiliingia kijijini kwake akaamua aliandae shamba lake kwa ajili ya kilimo hata kama miiba ni...
Watu wengi ulimwenguni hupenda kuzungumza kuhusu usawa, uhuru, na kujikomboa.
Katika sehemu nyingi za ulimwengu watu wanatamani kuwa huru kutokana na ukandamizaji, ubaguzi, na umaskini.
Wengine hudai haki ya kuwa na uhuru wa kusema, wa kuchagua, na wa kujiamulia watakavyo.
Inaonekana watu...
Je, umewahi kujiuliza maisha yako na ya familia yako yatakuwaje wakati ujao?
Je, unafikiri utapata ufanisi, au utakumbwa na umaskini?
Je, utapata watu wanaokupenda, au utakuwa mpweke?
Je, utaishi muda mrefu, au maisha yako yatakatika ghafla?
Wanadamu wamejiuliza maswali hayo kwa maelfu...
Mwenye kutaka rafiki asiye kuwa na Dosari, basi ataishi mpweke daima.
Mwenye kutaka Mke au Mume ambaye hana mapungufu, ataishi bila ya kuoa au kuolewa (Bachelor) mpaka siku ya kufa kwake.
Mwenye kutaka ndugu asiye kuwa na matatizo, ataishi akimtafuta milele.
Mwenye kutaka mtu wa karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.