Katika pekua pekua nimekutana na hiyo link hapo juu. Na hili kundi limeshaanza kufanyakazi hapa bongo. Ni kweli Waafrika tunahitaji wazungu hawa na wafuasi wao weusi wa kutoka marekani?
M-marekani mweusi anaitukana afrika/na waafrika kwa jina la ................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.