sisi tunacho jua ni kwamba ssm wamefwata matakwa na shurutisho kutoka CDM, pamoja na wao kuwa dereva ila direction zinatolewa na CDM na watashika adabu huu mwaka
ni mekaa nikafikiri mambo magumu na mazito ya kusikitisha yanayo tokea Tanzania nikakumbuka msemo wa yule msanii wetu babariz kuwa anataka kufanya mambo ambayo lazima watu wamkumbuke pindi atakapo acha kujivinjari kwenye lile shamba la bibi, sasa nashindwa kuelewa kama ndio anatimiza ile ahadi...
TEHRAN, Iran Irans official news agency reports that the head of the state oil company is claiming that the price of crude will go up to $150 per barrel.Head of the National Iranian Oil Company Ahmad Qalehban did not give a time frame for the prediction, nor any other details in the Sunday...
pindi gari linapo isha mafuta na kushindwa kwenda huwa hatulilalamikii gari bali mwenye gari, na vile vile madoctor wamefika mahala wakashindwa kusonga mbele na wanahitaji government support kwakuwa ndiye mmiliki or boss wao,. sasa mnataka hawa madactari wafanyeje kama mmiliki anakula sosegi...
pindi gari linapo isha mafuta na kushindwa kwenda huwa hatulilalamikii gari bali mwenye gari, na vile vile madoctor wamefika mahala wakashindwa kusonga mbele na wanahitaji government support kwakuwa ndiye mmiliki or boss wao,. sasa mnataka hawa madactari wafanyeje kama mmiliki anakula sosegi...
pindi gari linapo isha mafuta na kushindwa kwenda huwa hatulilalamikii gari bali mwenye gari, na vile vide madoctor wamefika mahala wakashindwa kusonga mbele na wanahitaji government support kwakuwa ndiye mmiliki or boss wao,. sasa mnataka hawa madactari wafanyeje kama mmiliki anakula sosegi...
kwa kazi gani hasa anayoifanya kwa siku moja hadi alipwe allowance ya 200,000, vs walimu wanao kula chaki kila siku hata 100 tu kwa siku ya kununulia maziwa hapewi? haki iko wapi sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.