Habari za wakati huu Wana jf
Niende mojakwamoja kwenye point, Mimi nipo mkoa x nataka kufanya biashara ya form six and round t- shirts za mtumba grade 1 ,mtaji wangu nilionao ni 400,000.Naombeni mnijuze chimbo zuri la kupata mabalo ya t shirt za UK,Canada ,dubai au china. Pia naombeni ushauri...
Habari zenu wana JF,
Tusipoteze muda twende kwenye point, ukiangalia duniani sasa hivi kuna vitu vingi sana vya ajabu. Mfano kuna meli ambazo zina uwezo wa kubeba matani ya mizigo pasipo kuzama majini,kuna ndege ambazo ni kubwa sana zinapaa pasina shida yoyote, kuna simu ambazo unaweza...
Habari zenu wanajamii Forums
Mimi ni mwanachuo wa chuo kikuu x.
Nimeona kutunza pesa sio kazi rahisi sana, hivyo nimeamua Kila boom nitakalopata nanunua mzigo mfano pochi.
Nguo halafu naweka ndani Ili mpaka namaliza chuo teyari nitakuwa na mzigo wa kutosha kuanzisha biashara yangu.
Naombeni...
Habari za sahizi wana jamii forum
Nilikuwa nataka kufanya biashara ya mabegi ya mkono mmoja ya wanaume, mwenye uzoefu nawaomba mnishauri kuhusu hii biashara, napatikana Dodoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.