Wapendwa habari za wakati huu,
Samahani naomba kujua Kati ya google pixel 6 plain na IPhone 11 Nani mkali zaidi katika camera, betries, storage, quality na mengineyo mengi mengii ya ndani msaada wakuu.
Wapendwa naomba kwa yeyote mwenye uelewa Mpana juu ya haya matoleo mawili Samsung note 10+ na google pixel 6,ipi ni Simu bora zaidi kwa matumizi ya mtanzania anayependa vitu vikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.