Kumbe ktk dunia hii bado kuna watu mnaishi kwa kukariri,kuna watu wanaitwa Matatizo na wana mkwanja mbaya,mtu anaitwa Juma na ni mkristo. Jina sio sababu as a matter of fact do u really think that is my really identity,U're really an IDIOT.
The function of education is to teach one to think intensively and to think critically. Intelligence plus character - that is the goal of true education.
My friend which school did go? A fool doesn't admit his foolishness,but If He does then He is Intelligent,I am way more intellignt than u...
What i need here is proven FACTS sio propaganda,sitaki mtu aniingize mkenge hapa.Sijauliza kuhusu posho za wabunge wala nauli za vivuko jamani hivi nyinyi hamnazo au?
Sawa kama ni maslah ila bado hamjanipa data nazotaka,nachotaka kujua ni kwa nini maslah,wanalipwa kiasi gani sasa na wanataka kiasi gani kiongezwe na kwa vigezo vipi?
Nahisi umelala wewe na hujasoma vizuri swali ndugu, hizi si zama za mipasho na misemo ya wahenga kama huna cha kusema u better keep ur stinking mouth SHUT
Ndugu kwa unyenyekevu naomba mwenye data anipe kwa faida ya wasiojua ukweli kuhusu Madaktari waliogoma wanataka nini hasa mpaka serikali imeshindwa kutekeleza madai yao,KUNA JAMBO KUMBWA HAPA SI BURE. Wagonjwa wanaendelea kupoteza maisha siku hadi siku hawa jamaa na serikali yao hawaelewani,ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.