Intelligent Idiot
Member
- Jan 21, 2012
- 8
- 0
Ndugu kwa unyenyekevu naomba mwenye data anipe kwa faida ya wasiojua ukweli kuhusu Madaktari waliogoma wanataka nini hasa mpaka serikali imeshindwa kutekeleza madai yao,KUNA JAMBO KUMBWA HAPA SI BURE. Wagonjwa wanaendelea kupoteza maisha siku hadi siku hawa jamaa na serikali yao hawaelewani,ni nini hasa anbacho hawaelewani. Kwa nyongeza tu naomba kuuliza tu kima cha chini cha daktari ni TZS ngapi per month?