Kumekuwepo na shinikizo la kumuondoa Mzigo Pinda u PM. Hakika ningependa aondoke, lakini nilifikiria gharama za kumhudumia yeye na ajaye mpaka waondoke duniani . Naona bora amalize tu. kama Lowasa hakupaswa kupata benefit zozote, lakini bado anatubebesha nzigo wavuja jasho . Tuhakikishe kwanza...
Maadam SSRA wamesema wasitisha kwa miezi sita kushughulika na Mafao mpaka muongozo. nawaomba waajiri wote wasipeleke NSSF, PPF na kwingineko mpaka baada ya muongozo huo yaaani miezi sita. Haina maana usitishe huku hiyo ni mbaya kuliko DECI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.