Maadam SSRA wamesema wasitisha kwa miezi sita kushughulika na Mafao mpaka muongozo. nawaomba waajiri wote wasipeleke NSSF, PPF na kwingineko mpaka baada ya muongozo huo yaaani miezi sita. Haina maana usitishe huku hiyo ni mbaya kuliko DECI
Maadam SSRA wamesema wasitisha kwa miezi sita kushughulika na Mafao mpaka muongozo. nawaomba waajiri wote wasipeleke NSSF, PPF na kwingineko mpaka baada ya muongozo huo yaaani miezi sita. Haina maana usitishe huku hiyo ni mbaya kuliko DECI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.