Naitwa Augustine Lucas, Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 25. Mzaliwa wa Mkoa wa Geita, nimhitimu katika Chuo Cha Bandari Dar Es Salaam, course niliosoma ni Clearing forwarding and port management,
Nina uzoefu katika masuala yote ya Port operations.
Nipo hapa natafuta kazi yoyote katika...
Mimi nikijana Nina umri wa miaka 25, nimhitimu katika chuo cha Bandari college mwaka 2022 katika fani ya Freight Clearing Forwarding and Port Management.
Nina uwezo na uzoefu wa kufanya kazi hizi
Experience for planning, controlling and implementing all import and
export activities. This...
Wana Jf natumain ni wazima wa afya,
Mimi nimpangaji na wala sina mda mrefu nimehamia kwenye nyumba hii. Kiukweli hapa nilipopanga tupo wapangaji wanne, mwanaume nipo mwenyewe na sijaoa, yaani nipo single. Hawa wengine ni wadada, kila mdada anachumba chake, kiukweli wote hakuna alieolewa au ana...
Nyumba ya kupanga raha hasa [emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]
Leo Waha wamepigana wenyewe kwa wenyewe,inadaiwa mmoja kaiba elfu tano ndani.Sasa kuna wanaomtetea na wanaomuunga mkono aliyeibiwa.Basi ndani ngumi zimepigwa humo [emoji23].
Sasa ule mlango wao una komeo nje,majirani si wakawa...
Nimelete kwenu Uzi huu nahitaji msaada wenu. Mimi ni mhitimu wa chuo sina hata miezi miwili nimehitimu chuo. Nimekuja hapa kwa kaka yangu maeneo ya wilaya ya Kilosa huku kupumzika kidogo huku nikiangalia harakati za kufanya baada ya kuhitimu elimu ya chuo.
Mada kuu, kaka yangu ana mke wake...
Habari,
Samahani kwa usumbufu.kwa majina naitwa Mussa Thomas ni mhitimu wa chuo cha Bandari college course ya Freight clearing forwarding and port management ngazi ya certificate nilikuwa naombi la kutafuta kampuni yeyote ile ya freight ambayo naweza kupata kazi au kujitolea:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.