jamani kwa maelezo ya mtoa mada hiyo ilikuwa "event" ya tawi la Lumumba na siya bank nzima.kuhusu kufanya matukio mengi mbona CRDB bank imefanya kwa mfano kufanya ukarabati katika hospitali ya Rufaa Morogoro na hospitali ya wazazi Meta mkoa wa Mbeya.
kama huwa haukaguwi simu yake na wala haujawahi kusema kuhusu kuolewa. Lakini ameisha kula mzigo basi ujue alikuwa anakutami au kuna kitu anacho ila hataki kukuambia
VIP MZIGO AMEISHA KULA?
Mi nimeshangaa yaani ndani ya miezi miwili unataka "password" ya Facebook inaonekana na simu yake unapenda ukague kuna nini na nawasiliana na kinani.Alafu inaonekana unataka akuambie ataoa lini
pole sana.Hapo angalia vitu viwili navyo ni plug na ignition coil kama ziko vizuri.Kama vitu hivyo viko poa je ulibadilisha lini oil ya gear box.Hawa mafundi usipokuwa makini watakuambia mambo mengi mara hiki mara kile ni bora uende kwenye gereji ya uhakika ambayo wanatumia computer kuchek...
wewe umeenda na kadi ya Bank ipi? kama hiyo kadi ya bank nyingine ( yaani siyo CRDB Bank) sheria inasema usubiri siku 45 na utaenda bank yake huko kutoa maelezo yako na kujaza form ya madai
Labda jaribu kupiga kesho maana namba hiyo ndiyo hutumika kama kadi yako imeibiwa au kupotea kuweza kuifunga iziweze kutumika Please be informed that on 20th July 2013 the Millennium Tower owners will fumigate the building where our Call Centre operates. In view of this, the Call Centre will...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.