Mheshimiwa hakika umeonyesha na kudhihiirisha kua ww ni kiongozi bora na cyo bora kiongozi, umeonyesha busara katika kujibu maswali na hoja za wadau hapa kwenye jukwaa kwa Busara na Hekima, Mungu asimame na ww katika kila hatua unayopiga na Historia itakukumbuka
Zanzibar kulikua na Jaji anaitwa Walfogong Durado. uyo ukipata chapisho lake lenye kichwa cha Habari TANGANYIKA yaionya ZANZIBAR, utajifunza mengi sana kuhusu huu Muungano
Kuna nakala aliwai kuandika Jaji Wolfogong Durado chenye kichwa cha Habari TANGANYIKA YAIONYA ZANZIBAR, tafta uisome utapata majibu ya hayo mawazo yako
Hakuna dawa, Dawa ya kutibu tatizo hilo milele ni ww kuiweka nafsi yako katika hali ya utayari kua kila akisemacho uyo binti umpendae ni Ukweli mtupu,hta kama anasema uongo sbbu ww haugegedi uongo mkuu.
Ukiamua kumuoa mwanamke mwenye mtoto au watoto hakikisha haya yafatayo [emoji117]Hakikisha umeudhuria mazishi ya uyo mzazi mwenzake kama ni marehemu, na uhakikishe unaaga mwili wa marehemu, pia ni Lazima uthibitishe kwa macho yako mawili kua alielala kwenye jeneza ndyo yeye uyo mzazi mwenzake...
Humu jf kuna pisi kali kuliko hta kidimbwi [emoji28] kuna pisi niliipata humu humu duh! Pongezi kwa Max mello kwa kuanzisha hii forum [emoji1666][emoji1666]
Pia serikali kupitia kwa msemaji wake wametangaza siku ya kesho kama ni siku ya mapumziko kusherehekea ushindi wa club namba 8 kwa ubora Barani Africa SIMBA SPORTS CLUB Kidimbwi fc mkae kwa kutulia [emoji196] [emoji196]
Nilivyoanza kusoma ni kama vile nilihisi kuelewa lkn kadri nilivyoendelea kusoma ndyo nikagundua kua hii nayo ni HIP HOP jitahidi mwanangu utatoka kwa mistari hii ya ukabila itakulipa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.