Habari wakuu, napenda kufahamu bei za frem za biashara dodoma zinaendaje
.
Biashara kama
1. Furniture
2. Mapazia, mashuka, godoro, neti,
3. Hardware
...
Napenda kufamu bei za frem na mzunguko wa biashara wa hivyo vitu
Pia kupata experience ya dodoma palivyo kwa biashara
..
Ahsanten[emoji120]
Habari wapendwa, niliwahi uliza kati ya Goba & Kigamboni wapi pako poa.
Kutokana na uwepo wa jamaa zangu wengi maeneo ya kigamboni, nimeamua kwenda huko.
Sasa kisota na kibada ndo napawaza maana bei maeneo hayo zinaonekana hazipishani sana
Kwa uzoefu wenu kisota na kibada wapi panaFaa zaidi...
Msaada wa kimawazo
Hivi kati ya Goba na Kigamboni, wapi pazuri kujenga na kuishi.
Naomba ushauri wapi kuna maeneo mazuri.
1. Bei za viwanja
2. Huduma za kijamii
3. Usalama
4. Wapi ni potential
5. Na mengineyo
Utofauti upoje ndo nataka kujua, buget ya plot sio issue sana
..
Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.