Habarini wakuu?
Eti ni Accounting package gani ni nzuri kutumiwa kwenye kampuni ya ujenzi wa reli na ujenzi wa barabara na ujenzi mwingine mkubwa
Msaada plz.
Habari wakuu naomba kuuliza eti ni accounting package ipi inafaa kutumiwa na kampuni ya ujenzi,mfano ujenzi wa reli na barabara na ujenzi mwingine mkubwa. Msaada wa haraka plz.
Lakini chanzo cha haya yote ni Madawa ya kulevya,
Hebu tuludi kwenye kusudi na tusipoteze maana kwa kuibua vitu visivyo vya muhimu kama vijana wetu wanavyo angamia kwa madawa, hizi nguvu zote zingetumika kwa pamoja kutoa taarifa juu ya janga hili na dhani tungepiga hatua kubwa sana.
JPM Anafanya vizuri sana kupunguza matumizi ila kwa hili Amekosea kidogo, kwani kumwambia mtu aludishe Pesa wakati pesa zenyewe ngumu saizi zingezuiliwa kabla hazijagaiwa.
Kwa kweli inasikitisha sana, kuna haja ya watafiti pindi wanapofika kwenye kijiji husika kutoa taarifa kwanza kwa uongozi wa kijiji (wenye viti wa kijiji) kwanza kabla ya kuendelea na chochote ili kuwatambulisha kwa wananchi na kupewa ushirikiano.
Naomba msaada kwa mtu anae jua program ya account inaitwa 1c, au wapi naweza kupata training inatumika sana na watu wa urusi. Natanguliza shukrani zangu za pekee kwa atakaye nisaidia.
Habarini wakuu mimi nipo kampuni moja hivi la watu wa kutoka kazakhastan sasa huyo Managing Director wetu anataka kulipiwa hadi sigara na kampuni yaani kila wanacho nunua wanareta risiti, sasa naomba kuuliza kwa wale wanaojua Managing director ana stahili allowance zipi mbali na mshahara wake?
Inawezekana wewe ni mmoja wa walio timuliwa ni bora kupiga kimya mkuu, kwani amna point unapoteza mda nakushauri huo mda uriokaa na kutunga yaho maelezo yako ya hasira, chuki, ungefikiri namna gani ya kujirekebisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.