Abrreviation ya MPC ni MARGINAL PROPENSITY TO CONSUME na MPS ni MARGINAL PROPENSITY TO SAVE.
Naomba sasa mnipe ukweli kuhusu hako ka heading apo juu.Ni ktk kukumbushana tu.
Kama uchumi upo mrengo wa kushoto piga kimya.
Naomba kuwasilisha.
Nipo mbele yenu wana JF nilitaka/nikiomba maelezo ya kina kwani wasomi wa mtaani/vijiweni/street university kuwa eti kumaliza kufika kileleni kabla ya mwenzio ni tatizo la kisaikolojia.
Nihabarisheni kuhusu ukweli wa hizi tetesi.
Naomba kuwasilisha.
Wakuu habari za usiku,kwa wale ambao tumeajiriwa poleni na majukumu ya kila siku na wale ambao bado tunatafuta kazi tusikate tamaa MUNGU yupo na ipo siku atakusaidia utapata tu,Baada ya salam hizo sasa naomba tupitie kwa umakini huu utafiti then tutoe maoni yetu:
Kunawatafiti wamefanya...
Wakuu habari za usiku,kwa wale ambao tumeajiriwa poleni na majukumu ya kila siku na wale ambao bado tunatafuta kazi tusikate tamaa MUNGU yupo na ipo siku atakusaidia utapata tu,Baada ya salam hizo sasa naomba tupitie kwa umakini huu utafiti then tutoe maoni yetu:
Kunawatafiti wamefanya...
Wana JF kwanza poleni na majukumu ya kila siku.
Leo nimeamua kutoa yaliyonisibu baada ya NW Mh.Mulugo kutangaza matokeo ya darasa la saba,naomba niwaulize wana JF nijisifu nini kuwa mwanangu amechaguliwa kujiunga k.1?
Nasema hivyo kwa sababu shule aliyopangiwa anapanda Magari manne(4) kwenda na...
Wana JF habari za jioni! Leo nimeamua kujitokeza hadharani kueleza yaliyo moyoni mwangu maana nimefikiri nimwulize nani bila kupata majibu.
Story ipo hivi,Mimi nimehamia hapa Arusha tangu mwaka 2001 nikitokea Dsm.Nilipofika Arusha nilifahamiana na dada mmoja anaeitwa(X),Mwanadada huyu alikuwa...
Naomba kuwauliza WaJF juzi kati nlikutana na mwanandoa mmoja akawa ananipa story anavyolalamikiwa na mkewe kuwa siku hizi amempata nani baada ya mkewe kumtuhumu kuwa kilometer zimepungua wakati wa kupanda mlima.Ni hivi madai yaliyopo eti mwanzoni wakati wanaoana alikuwa anatembea hadi km.5 hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.