semea nafai yako, you are talking nonsense, kiboko ya wauaji una maanisha nini, let us be sincerely, tuache kufanya propaganda zisizo na mashiko kwa wananchi wetu, ambao majority are living in a less a dolar a day.
umetumwa? umelipwa kiasi gani kufuatilia mambo ya Chadema, ambayo si kwa ustawi wa watanzania?, hebu leta hapa jamvini vitu vyenye tija, badala ya kuwa mropokaji.
inauma, na mungu hawalaani waliofanya kitendo hiki, ni wajibu sasa kwa serikali kuchukua jukumu zima la kulea familia hii, hasa kwa kuwasomesha watoto wa marehemu, wasikae kimya kama hawajui walilofanya, rip daudi mwangosi, mpiganaji wa haki za wanyonge.
ingeweza kuwa positive, kama asingetoa taarifa, ili aweze kupata hali halisi ya usafiri huo wa wananchi wa walio wengi, lakini kwa matangazo aliyofanya sidhani ataweza kuzipata zile kero za muda mrefu.
ingeweza kuwa positive, kama asingetoa taarifa, ili aweze kupata hali halisi ya usafiri huo wa wananchi wa kipato cha chini, lakini kwa matangazo aliyofanya sidhani ataweza kuzipata zile kero za muda mrefu.
mambo ya ukabila yanatoka wapi na siasa, hizo ni hoja dhaifu zisizo na mashiko hata kidogo, kingekuwa chama cha kikabila, kisingepata wabunge sehemu mbalimbali za nchi hii, hizo hoja kwa sasa watanzania wanazijua ni dhaifu na hawawezi kuzipa nafasi, labda anzisha kitu kingine, watanzania wa leo...
Hii ni kweli tu, kipanya hajaongopa, ni aibu kweli kwa rais wetu kuwa ombaomba, wakati nchi ina rasilimali lukuki, tatizo ni uongozi jamani, mpaka lini mambo haya.
ushauri wa bure, chadema leadership, achaneni na shibuda, endeleeni na mkakati wa kuimarisha chama kwa lengo la kushika dola 2015, shibuda atajifia mwenyewe kwenye kura maoni, utakapofika wakati tarajali, hata hao bavicha, wasiangaike na shibuda ambaye kwa sasa amepoteza muelekeo hata kwa wapiga...
inahitajika busara ya hali ya juu, shibuda aachwe amalize ubunge wake, viongozi wa chadema endeleeni kuimarisha chama achaneni na mambo ya shibuda,huu si wakati wa kuwania urais, bali ni wakati wa kutatua matatizo waliyonayo wananchi walio wengi, ambao wanaishi katika lindi kubwa la umasikini.
hivi kwanini wanalazimisha punda kunywa maji? waache demokrasia itawale, mambo ya kulazimisha yamepita muda wake kwa sasa, let them choose what they want and not what you want.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.