Pia, tukumbuke kuwa kuna pori la Msitu wa Pande ambalo ni muhimu kwa watalii wanaoingia Mkoa wa Dar es Salaam. Hivyo, uwepo wa barabara hii utaimalisha sekta ya utalii DSM
Kwa kuwa mmojawapo wa wateule wake ni Prof Mbalawa na kipande hicho cha barabara kipo chini ya TANROAD. Hoja hii inamhusu, hivyo nashauri aifanyie kazi.
Ni kawaida unapotaka hoja yako isikilizwe na watawala ni vema ukaanza na strengths na mwisho ukaonesha weaknesses nakushauri ipasavyo na hiki mama ndo anochotaka kwa yeye hawezi kuona kila kona ya nchi.
Sisi wananchi wa Mabwepande tunashukru serikali ya Rais Samia kwa kuendelea kukamilisha ujenzi wa hospitali ya Mabwepande.
Hata hivyo, tunaomba kipande cha barabara kutoka hospitalini hadi Bunju B kiwekee lami.
Hii itasaidia kwa wakina mama hasa wajawazito watakapolazimika kupewa uhamisho...
Mimi namshukru kwani Barbara ya mtaani kwangu Bombamzinga -Tabora imewekewa lami kwa Mara ya kwanza endelea hivyo mheshimiwa wananchi Wa mtaani Sana juju bal
Dr. Mwinuka ebu angaza pale Tanesco Tegeta kuna tatizo kwani kuna urasmu katika kuwafungia wateja huduma ya umeme ambao wameishalipia. Omba opras hasahasa kwa wafanyakazi wa serviceline uone jinsi walivyojipanga kuwahudumia wateja. La sivyo tumbua wafanyakazi wote wa kitengo hiki leta wapya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.