MacBook Air yako bado inawaka ila Operating system yake iko formatted. Tafuta sehemu nzuri yenye internet ya uhakika ili ufanye Recovery Installation. Kama ukiona Activation Lock afu huijui password ya computer au icloud sahau hiyo macbook na ishakuea toy.
Maelezo yako hayajakamilika sababu hujataja aina 3 za uziwi na ukoje? Mimi kama msomaji wa mada yako hii bado sijaelewa aina za ukiziwi unaozungumza?
Nijuavyo mimi kuna aina 2 za ukiziwi yaani kuzaliwa na ukubwani.
Hii hapa mkuu
https://www.ebay.com/itm/Genuine-Sharp-SHW-RMC-0121-TV-Remote-LC-32HI5332KF-LC-32HI5432KF-LC-32HI5332KF-/174323248500?mkcid=16&mkevt=1&_trksid=p2349624.m46890.l6249&mkrid=711-127632-2357-0
CompTIA A+ itakuvaa kwenye ulimwengu wa ajira ya IT especially kimataifa. Unachotakiwa ni kufanya na kufaulu mitihani yao ili upate cheti zao. Kwahiyo hizo cheti kina muda wake wa matumizi kuisha (Kila baada ya miaka 3). Kama muda wa matumizi ukiisha unaweza kurenew kwa kufanya mitihani yao hio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.