Search results

  1. D

    Filbert Bayi Adaiwa Kufisadi Fedha za Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Yeye Akanusha Asema Anachafuliwa

    Kama Bayi au TOC watagoma kujibu hayo maswali Gidabuday anajipanga kuelezea uozo wote kwa jinsi anavyofahamu, kwa sasa anachungulia kwa pembeni tu.
  2. D

    Kashfa kubwa kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), waziri pitisha fagio la chuma

    Duuu kumbe wengi ndivyo wajuavyo kwamba TOC ni mali ya mtu siyo ya Tanzania
  3. D

    Kashfa kubwa kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), waziri pitisha fagio la chuma

    TOC ni majambazi, wezi na mafisadi. Nashangaa bado wanaaminika, walistahili kuwa kifungoni by now.
  4. D

    Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kikaangoni

    Mwishoni mwa 2021 wanaharakati wa A-Town walianzisha WhatsApp group iitwayo "MAPINDUZI YA RIADHA TANZANIA" group hilo limejaa vichwa vikali vyenye ujasiri mkubwa wa kuhoji na kuchalenji. Pamoja na comments nyingi za hatari, nimeipenda hii hapa chini, nimeichomoa mle mle. 1) Viongozi wa TOC...
  5. D

    Umafia Kata ya Nangwa (W) ya Hanang Mkoa wa Manyara

    Hivi majuzi Wananchi wa kata ya Nangwa Wilaya ya Hanang walidai taarifa ya Mapato na Matumizi lakini wakajikuta matatani na kutiwa Polisi Katesh. Sakata hili linamuhusisha Mtendaji Kata tajiri kuliko wote Tanzania ndg Daudi Manda ambaye miaka michache iliyopita hakuwa na chochote lakini leo hii...
  6. D

    Kukosa umakini kwa tume ya Tiboroah kunavyoi-cost RT

    Gidabday alifanya kazi vzr sana kwa miaka 3 yake RT [emoji966] 2 zilikuja, taswira ya Tanzania ikapanda kimataifa. Ila wakubwa wakataka kutafuna gidabday akagoma na kukasirika kaondoka zake. Sasa nasikia anachunga mifugo mapprini.
  7. D

    Kukosa umakini kwa tume ya Tiboroah kunavyoi-cost RT

    Mnamo tarehe 30/Jan/2021 Baraza la Michezo la Taifa (BMT) liliteua tume ya kusimamia uchaguzi wa Shirikisho la Riadha Tanzania. Tume ilikua chini ya uenyekiti wa Dr Jonas Tiboroah japo mchakato huu ulifanywa na BMT kwa nia njema ya kurudisha utawala bora katika chama, bahati mbaya sana tume hii...
  8. D

    Kukosa umakini kwa tume ya Tiboroah kunavyoigarimu

    Mnamo tarehe 30/Jan/2021 Baraza la Michezo la Taifa (BMT) liliteua tume ya kusimamia uchaguzi wa Shirikisho la Riadha Tanzania. Tume ilikua chini ya uenyekiti wa Dr Jonas Tiboroah japo mchakato huu ulifanywa na BMT kwa nia njema ya kurudisha utawala bora katika chama, bahati mbaya sana tume hii...
  9. D

    Gidabuday ashusha waraka mzito, amvaa Bayo

    Kidunda hahusiki na uongozi wa riadha, Kidunda ni ndondi wapo Olimpiki yao pale kifa mbulahati
  10. D

    Gidabuday ashusha waraka mzito, amvaa Bayo

    Najiuliza ni kwanini Waziri yupo bubu kwa hili swala la Kikatiba? Hapo kuna harufu ya rushwa kubwa, hadi Waziri kimya?
Back
Top Bottom