Nafasi zote katika ngazi za serikali zingekuwa zinatangazwa na watu wana apply kama zilivo nafasi zingine. Hapa ndo tungekuwa tunajua strategies na goals za hao candidates katika kukabili changamoto zilizo mbele yao na si mambo ya kuteuana pasipo kuweka wazi vigezo vilivyo tumika. Mwisho wa siku...
Kijana naona unaanzisha thread kwa manufaa binafsi na unajikuta unadhalilisha uwezo wa upeo wako. Hao unao ona wanafaa wameshindwa kuli address hilo tatizo toka tupate uhuru mpaka jimbo linachukuliwa na Mnyika. Huwezi kusema yeye ka prove failure ndani ya miaka michache tangu aingie madarakani...
Kila siku linazuka jipya la kuturudisha nyuma kimaendeleo kutokana na maamuzi ya watu wachache ambao wanatuendesha kama gari bovu pasipo wao kutambua kuwa alama za nyakazi haziitaji jicho la tatu kuziona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.