Ndio maana naomba liishe!Maana Muhongo alisema wasikate tena ni agizo!Kumbe ndio anawaambie nikimaliza tu kujitetea anzeni tuliyokubalia!Yaani kateni mpaka liishe!Nanna wahakikishia leo bunge likienda mpaka usiku nao watakatiwa leo!
Mtoa post inamaana 21b kwenu nihela za sokoni eee?Unakoleza mimi sina kadi yachama chochote!Usijekuta Prof umebadili ID hapa!Wewe pumzika kiungwana tu maana kadri unavyoendelea kung'ang'ania hicho kiti ndio unazidi kuleta shida!Tukipigana mimi sitomlaumu Kafulila,Zitto wa Filikunjombe...
CCTV Zinakuja mkuu!Flyover naona ndio inawekwa ubungo muda si mrefu mtavuka mkuu!Ila kama unakuja mbezi kimara,ukifika kimara mwisho tu mziki unaanza upya mpaka kwamsuguri.
[QUOAcha ubaguzi wewe,nini cha ajabu Arusha?Kwanza wachaga ndio wenye hela hapo mjini!
TE=bugzbunny;10589268]Hii inaukweli sana tu, unajua arusha kumeendelea na ni mji mkubwa eneo lile, hivo mtu wa moshi akija dar ili asionekane mshamba inabidi ajifanye chalii , kwasababu...
Mimi nimchaga tena wahukohuko Marangu nanimtoto wakiume hayo yakula damu nimapenzi yashemeji mwenyewe,binafsi yangu huwa sinywi kisusio hata kidigo nawanajua hilo nahuwa wananitengea kabisaa nyama nasupu yangu.Kula au kutokula nimapenzi yamtu binafsi.Swala lakulazimishwa hapo halipo,Futa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.