leo zinaa imetapakaa kila kona sababu ya ukaribu wa viumbe wawili hawa kuchekacheka na kushikanashikana, mungu anajua ndo mana akaleta utaratib. ukishindwa kuelewa haki, utengano na ubaguzi iko siku utamwambia baba yako akupishe
nimependa namna alivyofafanua hii inaonesha kuna wajuzi wa mambo lakini hawajapta nafasi, ila suala la kuswali ijumaa kazungumza kwa namna ambayo najua wengi hawajamuelewa au hajaeleweka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.