Mtu huyu huyu tukisema gesti na lodge zipigwe marufuku atang'aka kama paka. Huu ni ubinafsi, pombe ishapigwa marufuku uarabuni lakini matajiri wanazo kwenye mafiriji yao hapohapo Riyadh na Muscat
Tunapitia mengi pole sana
Wa kwangu ni msafi kupindukia yaani ndani ng'ari ng'ari mpaka air freshener.
Ila sasa mbunye kwa mbinde, nimeamua kutafuta kimada. Nikirudi niko mwepesiii namhug mabusu halafu tunalala tu,
Sasa nifanyeje?
Wanicheke kwamba wao wana raha gani. Haohao ndo kila siku wanalalamika na ndo hawaipendi ccm kishenzi. Bora sisi wagogo imetutupa lakini bado tunajikomba nayo
Umewakilisha wengi. Sana yule aliyekuattach na mtoto ndo anayekufahamu ilitakiwa angalau apokee simu yako. Nimegundua wa Mwanza alitua mzigo, huyo mwenye mzigo ni mwehu hasaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.