Nimesikia kupitia DW radio kwamba asilimia kumi na tano15% ya pato la Taifa la Afghanstan kutokana na madawa ya kulevya na kwahiyo inakuwa vigumu kupiga vita thabiti dhidi ya madawa ya kulevya hapo kuna kitu sijaelewa hayo madawa yanachangiaje kwenye pato la taifa wakati siyo biashara halali...
Wiki iliyopita kulikuwa na tarifa iliyopostiwa hapa kwenye mtandao kuwa kuwa yule mganga wa kienyeji anayekunywa damu ya paka maarufu kwa jina la Dr. Manyaunyau is no more and there was no more details. TETESI HIZO HAZIKUWA ZA KWELI KWANI NIMEKUTANA NAYE JIONI HII AKIWA MZIMA KABISA BILA JERAHA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.