wandugu tuwe realistic tatizo sio viti maalum kwani kuna wengine wanachangia vizuri ingawa ni wachache sana ila huyu binti kawawa leo kafanya vichechekesho kalipotezea taifa muda kwa kuongea kitu kilekile akikirudia kwa kiswangilish mwishoni anajitapa kuwa alizaliwa akiwa politician ana uwezo wa...
wani huwezi kwamuda uliobaki kufanikiwa kununua meli tatu kubwa kuliko MV Bukoba kwenye maziwa matatu yaani Victoria, Tanganyika na Nyasa. Na sioni pia uwezekano wa wewe kuibadilisha Kigoma kuwa kama Dubai kama ulivyoahidi mwaka juzi.
Mwinjilisti mmoja akihubiri akawambia washirika wake kwa...
Nimeshikitishwa sana na hizo picha za mabasi. Siku ile ya mkutano wa CDM watu tulitoka mikoa jirani kwa nauli zetu lakini CCM imeona mtaji wao ni dhiki ya watu wa Mabwepande? Eee Mungu mwenye enzi okoa Tanzania.
Ni kweli alitukwaza nikikumbuka nilivyolala na njaa kwa ajili yake ili aende mjengoni, Hata hivyo kama Mungu atamsamehe atakuwa ametubu na sisi itabidi tumsamehe lakini kuomba kwenda kwa shetani utakuwa umepata hasara ya milele jitahidi kwa kadri uwezavyo usiende huko hebu pacheki au kupasikia...
Namshauri Zito asiendele kujishikamanisha na hawa wanafiki akina Kigwangala na Makamba watu walimwambia aache kukaribiana nao yeye akadai hao ni wapiganaji walioweka maslahi ya vijana na taifa mbele lakini ndiyo wa kwanza kuisariti na pia kuipinga hoja yake ambayo ingeleta ukombozi halisi
Salute ni salamu kwa hiyo askari wakivaa uniform hutoa salamu kwa njia ya salute na askari ni nani ni mtu yeyote anayefanya kazi za kiaskari kwa wakati huo awe mlinzi wa kampuni au mgambo ni askari kwa hiyo kamanda sugu naye kwa kuwa na mwonekano wa kiaskari alikuwa sahihi kutoa heshima/salamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.