Search results

  1. R

    Zainabu Kawawa

    wandugu tuwe realistic tatizo sio viti maalum kwani kuna wengine wanachangia vizuri ingawa ni wachache sana ila huyu binti kawawa leo kafanya vichechekesho kalipotezea taifa muda kwa kuongea kitu kilekile akikirudia kwa kiswangilish mwishoni anajitapa kuwa alizaliwa akiwa politician ana uwezo wa...
  2. R

    Mh. Rais zile ahadi zetu vipi? Muda unakwenda sana

    wani huwezi kwamuda uliobaki kufanikiwa kununua meli tatu kubwa kuliko MV Bukoba kwenye maziwa matatu yaani Victoria, Tanganyika na Nyasa. Na sioni pia uwezekano wa wewe kuibadilisha Kigoma kuwa kama Dubai kama ulivyoahidi mwaka juzi. Mwinjilisti mmoja akihubiri akawambia washirika wake kwa...
  3. R

    Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

    afadhali wewe umechangia kiukomavu kabisa naona wengine wanataka kujenga watu fulani na kubomoa wengine kwa roho ya ubinafsi
  4. R

    Kwa hili waziri wa nishati na madini hakuwa sawa

    Hata mimi nimemshangaa prof. ameshakuwa mwanasiasa
  5. R

    Ktk Kumuaga Bob: CHADEMA hawakuzingatia Utaifa

    UKIMWI, UKIRO, UKIA Hii ni mpya
  6. R

    Nape alinunua kadi za CHADEMA

    Nimeshikitishwa sana na hizo picha za mabasi. Siku ile ya mkutano wa CDM watu tulitoka mikoa jirani kwa nauli zetu lakini CCM imeona mtaji wao ni dhiki ya watu wa Mabwepande? Eee Mungu mwenye enzi okoa Tanzania.
  7. R

    Jambo leo mnapotosha jamii.

    Tuache jamani kununua magazeti yanayopotosha jamii ili tusiwe sehemu ya kuimarisha biashara zao za upotoshaji kwa manufaa yao
  8. R

    Jambo leo mnapotosha jamii.

    Tache jamani kununua magazeti yanayopotosha jamii ili tusiwe sehemu ya kuimarisha biashara zao za upotoshaji kwa manufaa yao
  9. R

    Dr Walid Amani Kabourou yuko wapi?

    Ni kweli alitukwaza nikikumbuka nilivyolala na njaa kwa ajili yake ili aende mjengoni, Hata hivyo kama Mungu atamsamehe atakuwa ametubu na sisi itabidi tumsamehe lakini kuomba kwenda kwa shetani utakuwa umepata hasara ya milele jitahidi kwa kadri uwezavyo usiende huko hebu pacheki au kupasikia...
  10. R

    Dr Walid Amani Kabourou yuko wapi?

    Vijana wa Kigoma wanamwita pimbi ukiwakumbusha habari za Kaburou wapata kichefuchefu
  11. R

    Msimamo wa Mheshimiwa Wenje juu ya Mwenyekiti wa NCCR.

    Ni Moses Machali a.k.a ccm "B"
  12. R

    Nna swali kwa wasichana wacheza shoo na Wasanii

    You are perfectly alright
  13. R

    Wakuu wa wilaya waliotemwa...

    ni henry orauya clemens
  14. R

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    Namshauri Zito asiendele kujishikamanisha na hawa wanafiki akina Kigwangala na Makamba watu walimwambia aache kukaribiana nao yeye akadai hao ni wapiganaji walioweka maslahi ya vijana na taifa mbele lakini ndiyo wa kwanza kuisariti na pia kuipinga hoja yake ambayo ingeleta ukombozi halisi
  15. R

    Ningekuwa Rais wa Tanganyika ningeunganisha Wizara......

    Hilo baraza ni kubwa endelea kulipunguza wabakie 20 au 18
  16. R

    Hukumu ya kesi jimbo la Kasulu; Agripina (NCCR) Ashinda

    huyu ni mama siyo ka-binti anakaribia 50yrs
  17. R

    Kijiji kizima kujiunga na CHADEMA Jumatano hii

    hii sasa siyo haba na haba tena hii ni total revolution
  18. R

    Nashauri Naibu Speaker Job Ndugai aongoze kikao cha bunge kesho

    umesahau hapa ni home of great thinkers? hiyo lugha unayotumia ungemwachia Livingstone Lusinde
  19. R

    Utaratibu kuhusu saluti

    Salute ni salamu kwa hiyo askari wakivaa uniform hutoa salamu kwa njia ya salute na askari ni nani ni mtu yeyote anayefanya kazi za kiaskari kwa wakati huo awe mlinzi wa kampuni au mgambo ni askari kwa hiyo kamanda sugu naye kwa kuwa na mwonekano wa kiaskari alikuwa sahihi kutoa heshima/salamu...
  20. R

    Kituko kwenye harambee "Movement 4 Change"

    I think this is pending court so observe judiciary independence
Back
Top Bottom