Nilishawah kufanya usaili kwao but ni wabovu sana hawa wabagladeshi.jamaa angu aliajiriwa hapo hakukaa ata miezi mitatu akaacha kazi.but nakushaur nenda tu kapambane
Habarini wadau wa JF,
Naomba kuuliza kwa wale ambao tulifanya usaili TRA pale mwenge chuo cha Tax kwa nafasi za IT Vip kuna aliyeitwa kwa ajili ya Usaili wa mahojiano.
Mwenye taarifa please
Jamani kuna wale tulifanya usahili january tarehr 11 kwa nafasi za IT Hivi washaitwa kwenye oral maana kimya kingi sana.wadau kama kuna aliyeitwa atupe taarifa
Da we unatamani ila nikikuleta apo nadhani kesho yake hurudi tena.tatizo c hata mshahara pia muda unaofanya kazi na pia hawana utu mkuu.pia kazi nyingi sana hadi ukifika home unahisi kuchanganyikiwa then ni very risk job
Unajua NI WATU WACHACHE SANA WANAJUA HILO.WANAFIKIRI MTU UNAVYOAMUA KUFANYS HIVYO HUPEND PESA.ASANTE MKUU KWA USHAURI nalipwa 7000 per day nimekaa kitaa then sa hv nimepata pamoja siyo nzuri sana na ni ya muda ila sifanyi masaa 14 kama hiyo ya kwanza hawa wahindi we ngoja policy ibadilike lazima...
Ebu wana jf nipeni ushauri kwan nimeamua kuresign kaz niliyonayo kwani nalipwa laki 2 tu then mafanya kazi more than 14hrs without overtime ni kampuni ya wahondi then ukizingatia mi ni graduate wa computer science.ebu nipen ushaur jamani hawa wahindi siyo watu wazuri labisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.