Sisawa kushusha nauli. Serikali yenyewe imeongeza kodi ya mapato kwa zaidi ya laki moja ukilinganisha na kodi ya mwaka jana. Je kwanini wao waongeze kodi bila kufikiria wamiliki wanapata wapi hiyo pesa ya nyongeza?
Sikiliza wewe mwanamahesabu. Kama jamaa kanunua fuso ya kwanza mwezi wa kwanza. mwezi wa pili kafungua mgahawa mwingine, mwazi wa tatu kanunua fuso na kufungua mgahawa wa tatu. Je mwezi wa nne atakuwa na uwezo kiasi gani? Utabakia Tshs 2M kama mahesabu yako yalivyo sema. Kweli hesabu ni tatizo...
Naomba niiweke sawa.
1. Hakutaja raisi atakayetekwa ni wa ni gani
2. Amesema kutatokea mauaji kama yale ya kenye kwenye nchi moja ya Afirca Mashariki lakini si Kenya. Akaendelea kufafanua kuwa nchi hiyo yalishatokea mauaji kama hayo wakati watu wakiwa wanakunywa na kujirusha.
3. Ameomba kila...
Jamani tuelewane waheshimiwa kwakuwa kosa la kufeli kwa wanafunzi si lao kwani tumejenga madarasa mengi lakini hatukuwa na waalimu na vitendea kazi vya kutosha basi TUSHUSHE ALAMA ZA UFAULU HADI 10% TUKISHAWEKA VITENDEAKAZI NA WALIMU WAKUTOSHA TUTARUDISHA HIVYO MUNAVYOVIHITAJI. Tunaelewana...
Naomba usigeneralize mimi nilikuwa kwenye urafiki+ uchumba miaka sita na toka tumeoana ni mwaka wa nane sasa maisha BOMBA RAHA KWA KENDA MBELE. NODA TAMU BWANA!!!!!
The issue is how all these started?
Ilianza kama maandamano ya CHADEMA wanayofanya kupinga serikali iliyopo madarakani. Na Asad badala ya kutafuta namna ya kutatua na kusikiliza kero za wananchi alileta jeshi kupambana na waandamanaji? Je nani mwenye kosa. TO ME ASAD HAS TO GO!!!!!!
Tatizo ni kuwa Mkuu wa Wilaya na Mkoa wote ni makada wa CCM je ungetegemea nini? Mbunge anatoka chama cha upinzani maana yake kwa TZ ni kumpinga kwa kila atakachokifanya. Lema ametumia hii kujitafutia Popularity and this is what is called Politics!!!!!
Mimi pia naona anguko hilo na hakika CCM sichama chakufa chenyewe ila kitakufa kwa kuuwawa na tuliowapa uongozi wa chama chetu. Mimi nasikitika kuwa BUNGE limegeuka la watawala na watawaliwa. Watawala ni wabunge na mawaziri wa CCM watawaliwa ni Wabunge wachache sana wa upinzani. Je wabunge wa...
Awe CHADEMA au CCM MKRISTO AU MUISLAMU KAMA TUTAENDELEA KUCHEKELEA UCHAFU HUU WA UDINI BADALA YA KUPENDANA KWANZA SISI KWA SISI JE HAKI YA MUNGU ITATOKA WAPI? WAWEZAJE KUMPENDA MUNGU UKAMCHUKIA JIRANI YAKO KISA KATAKA KUCHINJA YEYE MWENYEWE NA WEWE ULE. HUU NI UJINGA NA TUTATOKA KWENYE KUCHINJA...
Mungu wangu wapi hapa tunakwenda!!! Mungu ibariki tazania kwani huku tuendako bunge litaishia kupigana vijembe na kusahau kujadili matatizo na mustakabali wa nchi yetu. Hakika bunge limepoteza muelekeo. Hivi ilikuwaje wakati wa sita mbona haya yote hayakutokea? Mwenye macho haambiwi tanzama...
Tuanzishe machinjio ya kisasa ambapo wanyama wote wanachinjwa kwa mashine. Nchi zilizooendelea unakula nyama hata hujui imetokea wapi tunachojalitu ni je ni kitimoto au vipi? Otherwise ni halal. Kuhusu nani achinje na nani asichinje ni mawazo ya kiumasikinitu kwani kuchinja ni kama kazitu...
Hii mada ni nzuri sana kwani na mimi nimuhanga wa hii kwani masomo yameniweka mbali na mke wangu na watoto kwa miaka miwili sasa na bado sijamaliza. Hakika nakubaliana na wachangiaji wote hali hii ni ngumu sana. Nini ninachofanya kukabilian na hali hii?
1. Na skype na mke wangu angalau kila siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.