Tangu tarehe 01.10.2023 kumekuwapo na vuguvugu la muungano wa vijana wapiganaji kuvamia ngome za waasi wa M23.
Vijana hawa wanaojiita wazalendo ni mchanganyiko wa vikundi vidogo vidogo vya waasi na wanamgambo nje jeshi la nchi. Wengi ni vikundi maarufu kama Mayi Mayi na Nyatura.
Wazalendo...
Laana ya kupenda kuhamisha mipaka na kupanua ardhi yao bado inaiandama nchi ya Uganda.
Tangu October 1, 2023 kumekuwepo na tafurani ya mipaka kati ya Uganda na Sudani ya Kusini na DRC.
Hoja zinataja kuwa bila mawasiliano yoyote Uganda wamehamisha alama za mipaka na kuingia katika mataifa hayo...
Maisha ni fumbo juzi juzi nikakutana kamanda Kamuhanda amesitafu anaishi Mwanza. Nikacheka sana. Kachoka ana Harrier Imechoka balaa. Hah
Tuishi kwa wema na upendo. Maisha ni safari tu
Mwl Makungu bado uko baridi ndugu yangu. Umeongea point sana. Ila sijui kwa nini nimekumbuka ndungu Mwl Deo yule Mwl wa Nyamagana aliyefunga. Alikuaga na maandiko fulani.
Sasa kijana naona baada ya siasa kukuvuruga umepata mvurugano wa idol
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Mkoa wa Mara hakuna Waziri.
Mkoa wa Shinyanga hakuna Waziri.
Mkoa wa Simiyu hakuna waziri.
Mkoa wa Mwanza Waziri mmoja
Mkoa wa Geita waziri mmoja
Kagera waziri mmoja.
Lakini hata watu wa Kanda ya ziwa hatulalamiki.
Ila iwe vise versa server ya JF Itaanguka.
Leo Tanga mkoa mmoja una Mawaziri...
Kabila husaidia kubaini aina ya makuzi aloyopitia mtu. Pia urithi wa kitamaduni katika kuchambua saikolojia ya mtu
Hivyo hapo nimekusudia kumuonesha Sheakh Kebeke hoja zake utamaduni wake na elimu yake.
Kutaja Umanyema wake inamaana kunasabisha.
Ni lengo la Ukristo kuhubiri na kuwafanya mataifa wote kuwa Wakristo. Hilo si lengo la RC ama white father TU. Hiyo ndiyo mission ya Yesu kwa wanafunzi wake ya mwisho.
Katika kuhubiri na kubatiza huwalenga wote wasiolijua neno la Kristo wawe Wapangani, Budda ama Islamu.
Na hapo sioni kosa kwa...
Asante kwa kukubali kuwa hayo mashirika ni sehemu ya kanisa, ni kama jumuia TU. Na ndiyo kanisa lenyewe.
Ok. Sorry kwa kukutukana.
Pia siitwi Nyan naitwa Nyabhera.
Leo ndiyo nimejua kumbe ww ni debe tupu. Hayo mashurika yamesajikiwa wapi? Ushawahi kuona ofisi ya White father. Nikusaidie hayo ni mashirik chini ya RC ni sehemu ya kanisa. Na ndiyo kanisa lenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.