Habari wakuu
Leo nimeamka kama kawaida naenda zangu kibaruani, kufika pale terminal ya kimara nikakuta utaratibu mpya kumeanzishwa mizani, kwa hiyo gari halitoki bila kupima mizani
Basi nikaingia kwenye gari kama kawaida kwa kugombania nikaambulia nafasi ya kusimama nikaona sio issue maana...
Haya jamani kesho ndo ile siku iliyokuwa inasubiriwa twendeni tukathubutu, tuweze kisha tusonge mbele maandamano kama kawaida usalama tumehakikishiwa alshabab hawatakuwa na nafasi
Habarini waungwana natumai ni wazima kwa wale wagonjwa Mungu awape nguvu na afya nzuri mapema ili tuendelee kusongesha hili gurudumu la maisha, naomba niwe mmoja wa familia yenu wapendwa, kama mtafurahi mimi kuwa miongoni nitafurahi pia
Habarini waungwana natumai ni wazima kwa wale wagonjwa Mungu awape nguvu na afya nzuri mapema ili tuendelee kusongesha hili gurudumu la maisha, naomba niwe mmoja wa familia yenu wapendwa, kama mtafurahi mimi kuwa miongoni mwenu nitafurahi pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.