Haya jamani kesho ndo ile siku iliyokuwa inasubiriwa twendeni tukathubutu, tuweze kisha tusonge mbele maandamano kama kawaida usalama tumehakikishiwa alshabab hawatakuwa na nafasi
Haya jamani kesho ndo ile siku iliyokuwa inasubiriwa twendeni tukathubutu, tuweze kisha tusonge mbele maandamano kama kawaida usalama tumehakikishiwa alshabab hawatakuwa na nafasi
Hatuna muda mchafu,tunasubiri somo la mswaada wa katiba toka kwa makamanda wa cdm linaloendelea nchini tuhitimu zeni tumwagike barabarani na hatutasikiliza tena taarifa za kiintelejensia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.