mm nilikuwa napita tu,kwi!kwi!kwi!kwi!kwi!kwi................................!!!!!!!!!!!!!!! rage noma hajawahi shinda hata nje ya dar es salaam tangu msimu huu mpya ligi teeeeeeeeee teeeeeeee!!,nalog out
Huyo jamaa inawezekana anatatizo kama langu vile,hata mm kwa mwanamke hasa yeye ndo kanitaka then hanivutii kingono huwa nakuwa nina aibu hata kuongea naye,akivua ndo tobaa! naona kama namchungulia dada yangu,sasa ngoma nimpate tunayependana sawa niko tayari hata hadharan kungonoka,huyo jamaa...
mm nahitaji kwenda ukraine mkuu ila unitafutie kwanza sponsor na aingize pesa kwenye akaunti yangu ndo tuanze mchakato wa kutafuta chuo ukraine,nikimaliza masomo nitafanya kazi kwake,kinyume na hapo mkuu nitaendelea na HESLB mana karibia namalizia njenge yangu kupitia udhamini wao,tusisumbuane
teeeee teee! hivi dodoma kuna chuo kikuu kumbe,kudadeki nilijua ni mkusanyiko wa waalimu,wazee na wote waliosoma shule za kata! tee! tee! ili kuhusu ajira kuna dogo ameliza huko chuo cha kata udom yupo dar maeneo ya ubungo riverside,mwaka wa 3 sasa hajapata ajira,alisomea sociology sasa...
mm ndo usiseme walinikatazia kuingia chooni na nilikuwa naumwa tumbo la kuharisha wakasema nichukue bajaji niende sayansi halafu nirudi badae kwenye foleni ya kuingia chumba na no.13,mpaka leo nimeghairi kuhama chuo nitasoma peke yangu songea
Jamani mm leo napasuka wazi mana nimevumilia sana,ukienda ofisi za tcu hasa chumba no.9 na 13 kuna wahudumu no.9 wa kiume no.13 wa kike,jamani wanajskia na huduma zao ni mbaya tena hawafai kuwepo pale kwani wamefanya ofisi kama za baba zao na hakuna aliyeingia kuhudumiwa akakosa kulalamika...
Nilikuwa nauliza tu,kuna siku utakuja kuelewa vizuri nafikiri hukuwahi kuskia kauli ya huyo kiongozi wa yanga,endelea kufuatilia mechi za simba baada ya yanga kufungwa na kagera
hata mechi ya kagera mambo yameanza kuonekana,kaseja ameachia makusudi hasa goli la kwanza kwani alikuwa na uwezo mkubwa wa kupiga ngumi ule mpira ili utoke nje lakini akanyosha mkono kidogo na kushusha haraka,nafikir alipewa mpunga mnene na swaiba wake mtoto anayefanyia BIOT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.