Search results

  1. J

    Simba sports club tv hewani

    mm nilikuwa napita tu,kwi!kwi!kwi!kwi!kwi!kwi................................!!!!!!!!!!!!!!! rage noma hajawahi shinda hata nje ya dar es salaam tangu msimu huu mpya ligi teeeeeeeeee teeeeeeee!!,nalog out
  2. J

    Yanga vs Mgambo JKT, kutoka Uwanja wa Taifa

    simba wamejisahau sana walidhani ni azam walioachia mabao
  3. J

    Yanga vs Mgambo JKT, kutoka Uwanja wa Taifa

    mpaka sasa morogoro Simba 0 - Polisi moro 0
  4. J

    Jamani Mume wangu Ananiogopa...

    Huyo jamaa inawezekana anatatizo kama langu vile,hata mm kwa mwanamke hasa yeye ndo kanitaka then hanivutii kingono huwa nakuwa nina aibu hata kuongea naye,akivua ndo tobaa! naona kama namchungulia dada yangu,sasa ngoma nimpate tunayependana sawa niko tayari hata hadharan kungonoka,huyo jamaa...
  5. J

    Angalia kwa makini hii picha halafu toa maoni

    Kweli hii uchanganye na uchafu mwekundu hivi itakuwaje? vodacom ni free masson na marangi yao
  6. J

    Teh teh teh,atimae VODACOM wameufyata mkia kwa YANGA!

    walikuwa wanabeep kwa yanga walidhani ni simba wafyata mkia,naipongeza yanga kwa msimamo wao
  7. J

    Huyu dr wa kwenye mdahalo wa itv jumapili kasomea fani gani?

    mm nalogi auti bana mana mbavu zinauma
  8. J

    Kutoka facebook fanpage ya Jumuia ya Uamsho

    mm ningewashauri waende ofisi za free massons watamkuta huyo farid wao,waache kugombana
  9. J

    Kuna ukweli kuhusu hili?

    sasa waliosoma open inakuaje?
  10. J

    Study abroad

    ndo unayowaza hayo siku zote,pole wakupakatwa
  11. J

    Mwalimu wa Kifaransa Anahitajika

    mm natafuta anayefahamu kihehe mana kuna kijana wangu kutoka india anakuja mwezi ujao kwenda iringa kumsalimia babu yake,anayejua kihehe anijibu
  12. J

    Study abroad

    mm nahitaji kwenda ukraine mkuu ila unitafutie kwanza sponsor na aingize pesa kwenye akaunti yangu ndo tuanze mchakato wa kutafuta chuo ukraine,nikimaliza masomo nitafanya kazi kwake,kinyume na hapo mkuu nitaendelea na HESLB mana karibia namalizia njenge yangu kupitia udhamini wao,tusisumbuane
  13. J

    Uliyechuo take care

    siku hizi kufa ni simpo sana,mm na manyota hatushangia ila Mungu amsaidie huko aendako
  14. J

    Kuna ukweli kuhusu hili?

    teeeee teee! hivi dodoma kuna chuo kikuu kumbe,kudadeki nilijua ni mkusanyiko wa waalimu,wazee na wote waliosoma shule za kata! tee! tee! ili kuhusu ajira kuna dogo ameliza huko chuo cha kata udom yupo dar maeneo ya ubungo riverside,mwaka wa 3 sasa hajapata ajira,alisomea sociology sasa...
  15. J

    Vipi ofisi za TCU chumba namba 9 na 13 mbona mnaogopwa?

    mm ndo usiseme walinikatazia kuingia chooni na nilikuwa naumwa tumbo la kuharisha wakasema nichukue bajaji niende sayansi halafu nirudi badae kwenye foleni ya kuingia chumba na no.13,mpaka leo nimeghairi kuhama chuo nitasoma peke yangu songea
  16. J

    Vipi ofisi za TCU chumba namba 9 na 13 mbona mnaogopwa?

    Jamani mm leo napasuka wazi mana nimevumilia sana,ukienda ofisi za tcu hasa chumba no.9 na 13 kuna wahudumu no.9 wa kiume no.13 wa kike,jamani wanajskia na huduma zao ni mbaya tena hawafai kuwepo pale kwani wamefanya ofisi kama za baba zao na hakuna aliyeingia kuhudumiwa akakosa kulalamika...
  17. J

    Maneno ya Yanga ni kweli yataigharimu Simba

    Nilikuwa nauliza tu,kuna siku utakuja kuelewa vizuri nafikiri hukuwahi kuskia kauli ya huyo kiongozi wa yanga,endelea kufuatilia mechi za simba baada ya yanga kufungwa na kagera
  18. J

    Maneno ya Yanga ni kweli yataigharimu Simba

    hata mechi ya kagera mambo yameanza kuonekana,kaseja ameachia makusudi hasa goli la kwanza kwani alikuwa na uwezo mkubwa wa kupiga ngumi ule mpira ili utoke nje lakini akanyosha mkono kidogo na kushusha haraka,nafikir alipewa mpunga mnene na swaiba wake mtoto anayefanyia BIOT
  19. J

    simba vs kagera live updates

    washabiki wa yanga hawapo kabisa uwanjani,nikihesabu jukwaa lao wapo kama 20 tu
Back
Top Bottom